Sunday 2 September 2012

Matukio mbalimbali katika mkutano wa M4C Reading

Mwenyekiti Mh Likosi Akihutubia Mkutano
Katibu wa Chadema UK Kamanda Liberatus Musiba akiwa na Mwenyekiti wakifuatilia mkutano
 
Mh Lukosi na Mweka Hazina Dr Alex  wakimsikiliza kwa makini Kamanda Godbless Lema akihutubia mkutano huo kwa njia ya simu
 
Dr Alex Paurine ambaye pia ni Mweka hazina akihutubia mkutano huo, Dr Paurine alitumia Power Point kuonyesha picha na matukio yanayoonyesha hali halisi ya maisha ya Watanzania wengi.
 
Ndg Aseri Katanga Mwenyekiti wa bodi ya Computer for Africa akihutubia

Mwenyekiti wa Baraza la wanawake Chadema UK Bi Jessica Maduhu akielezea masikitiko yake juu ya huduma mbovu za afya na kero wanazozipata wanawake wajawazito wakati wa kujifungua na huduma za afya kwa watoto.

Gerald Lusingu, Mmoja wa wenyeji wa Mkutano wa M4C Reading na aliyechaguliwa kuwa mwakilishi wa M4C Reading akiwasalimia wananchi 

Dr Lusingu akitoa Historia ya Harakati za Mabadiliko na Mageuzi katika nchi yetu, huku akifuatiliwa kwa makini na Katibu wa wanawake Bi Margaret Malekia, Katibu Mh Liberatus na Mwenyekiti Mh Lukosi 
Engineer Prudence Kahatano akichambua matokeo ya azimio la Zanzibar lililovunja azimio la Arusha na madhara ya soko huria kwa Watanzania
 

 Wadau Mbalimbali katika Mkutano

 


 Wanachama mbali mbali wakikabidhiwa kadi za Chadema na Mwenyekiti wa Chadema UK Mh Chriss Lukosi

Ndg Wambura akivalishwa Gwanda na Kupewa kadi ya Chadema na Mwenyekiti Mh Lukosi





No comments:

Post a Comment

Chadema UK Ndani ya Milton Keynes

DAR NI SISI - VIDEO MAISHA YA WANADAR HATA BAADA YA MIAKA50 YA UHURU