Tuesday, 2 October 2012
VIONGOZI WA BAVICHA TAIFA WAALIKWA KUHUDHURIA MKUTANO MKUU WA BARAZA LA VIJANA LA CHAMA TAWALA NCHINI UJERUMANI
Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Heche na Katibu Mkuu wake Deogratius Munishi wamealikwa na Baraza la vijana la chama tawala nchini Ujerumani kuhudhuria mkutano wake mkuu.
Vijana hao wa BAVICHA wamealikwa kama wawakilishi kutoka Tanzania na Africa kwa ujumla.Pia wamepewa heshima kubwa ya kuhutubia mkutano huo mkuu.
Mkutano mkuu huo utahudhuriwa na Chancellor wa Ujerumani Bi. Angel Markel.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment